• Saturday, 05 October 2024
President Ruto enraged after a group of rowdy youth disrupted his speech in Meru

President Ruto enraged after a group of rowdy youth disrupted his speech in Meru

President William Ruto on Friday, January 26, 2024, was forced to reign on youth in Meru after a part of them heckled him during his speech.

A visibly upset Ruto warned the residents that it was not yet time for elections that they should heckle elected leaders. Ruto was also responding to heckling by residents against Meru Governor Kawira Mwangaza.

"Siasa hii ya makelele sitaki. Hii siasa ya makelele ni siasa mbaya. Nyinyi vijana nataka niwaambie, mimi nataka niwapangie kazi ya ajira. Mambo ya kukuja kupiga kelele kwa mkutano sitaki. Sisi tumekuja hapa kupanga mambo ya maendeleo ya Meru. Tabia kama hii mimi sitaki tena. Kwa mkutano ya rais sitaki watu wa kupiga kelele. Hiyo ni kukosa heshima. Mimi nataka kila kiongozi apatiwe heshima," Ruto said.

"Tabia hii ya makelele ni mambo ya Azimio na ni maneno ya ODM. Sisi hatutaki maneno ya ODM katika mkutano ya UDA na mkutano ya Kenya Kwanza. Tabia hii ya kupigiana makelele iwe ya mwisho leo. We do not want this kind of nonsense. We want a united country."

He was speaking in Kiutine, Meru's Igembe Central Constituency, after opening St Mark’s Ndoleli School and commissioning the institution’s administration block.

 

Share on

SHARE YOUR COMMENT

// //