• Monday, 20 May 2024
Christina shusho issues the way forward after revealing she broke up with her husband

Christina shusho issues the way forward after revealing she broke up with her husband

Christina Shusho has shared a statement regarding her marriage after she revealed that she has split from her husband.

In a recent statement on the same, Shusho started off by saying;

"Ndugu Zangu, Waandishi wa Habari mnaonitafuta na Mashabiki Kwa Ujumla Ningependa kuchukua nafasi hii kuweka baadhi ya mambo sawa."

(Dear Fellow Journalists and Fans in General I would like to take this opportunity to set some things straight)

She added that she was going to clear the air on news circulating on social media.

"Najua mna maswali mengi kutokana na interviews nilizo fanya mwaka 2020 na nyingine mwaka wa 2022.Niseme tu maswali haya yote nitayajibu kikamilifu hivi punde na Ukweli utajulikana."

(I know you have many questions from the interviews I did in 2020 and another in 2022. Let me just say that I will answer all these questions fully soon and the truth will be known)

She went on to warn that;

"Watu wanao tumia jina langu au picha zangu kwenye online kueneza habari za upotofu na wengine kutukana:Jambo hili liko kisheria na nina Imani Hatua stahiki zitachukuliwa kwani wanasheria na Mamlaka husika wana taarifa zote."

(People who use my name or my pictures online to spread false information and insult others: This matter is legal and I have faith that appropriate measures will be taken because the lawyers and the relevant authorities have all the information)

She asked for patience from her fans as she prepares to make a public statement on the status of her marriage.

"Siku ya Kuongea ikifika ntaongea yote kuhusu Ndoa ili Ukweli julikane badala ya watu kueneza habari ambazo hawana undani wake. Naamini Ukweli siku zote humuweka mtu huru. Niwaombe uvumilivu swala hili linapo endelea kufanyiwa kazi "

(When the Day of Talking comes, I will talk about Marriage so that the Truth will be known instead of people spreading information that they do not have the details of. I believe the Truth always sets a person free. I ask for your patience while this issue continues to be worked on.)

While giving a testimony at a Rwanda-based church a year ago, Shusho said she was married at the age of 19 when she didn't know about what love.  

Share on

SHARE YOUR COMMENT

// //